Wednesday, 16 July 2014

Wilshere umekosea



Jack Wilshere  ametakiwa kuacha tabia yake ya kuvuta sigara ili  kuendelea na  soka  kwa muda mrefu.

 ASHLEY COLE  akijibu swali hilo mapema leo,katika utambulisho wa klabu yake mpya ya ROMA ya Itaria ,likihoji kuwa anakitu gani cha kuwaambia chipukizi kama Wilshere.


Cole alisema kuwa siyo jukumu lake la kumwambia mtu nini cha kufanya lakini sio kitu kizuri kufanya mambo yasio mazuri mbele ya jamii ukiwa ni kioo cha jamii.
"Sitaki kumwambia ninamna gani ya kujieshim lakini ni juu yake kuelewa hilo”alisema ColeI
Ikumbukwe kuwa Jack Wilshere alikutwa akivuta sigara na wenzake Joe Hart pamoja na James Milner.
Hata hivyo Wilshere alikili kuwa anapendelea kuvuta ikiwa moja ya starehe ya na haina matatizo yeyote kwake.

No comments:

Post a Comment