Saturday, 26 July 2014

Arsenal Haikamatiki:Calum Chambers akamilisha vipimo huku Carl Jenkinson kutolewa kwa mkopo



 Arsene Wenger anajiandaa kumtoa kwa mkopo Carl  Jenkinson 22 katika ligi kuu uingereza kipindi hiki cha usajili
Wenger bado anamatumaini makubwa kwa  Jenkinson kubakia  Arsenal, lakini anaamini itakuwa bora kama atapata uzoefu kutoka katika klabu tofauti kwenye ligi hiyo.
Imeripotiwa kuwa West Ham,Newcastle na Sunderland wameonekana kutaka kumsajili kinda huyo wa washika bunguki kuliko kumchukua kwa mkopo wa muda mfupi.
Pia Arsenal wamemsajili Calum Chambers 19 wa uamisho wa Pouni 16m kutoka Southampton

ambapo kimsingi amefaulu vipimo na kila kitu kipo sawa.

No comments:

Post a Comment