Badala yake Louis Van Gaal akamkalibisha Manchester United
kwa pouni 27m akiwa ni kinda la miaka19 akiwa mchezaji wa timu ya Taifa la
uingereza analipwa mshahara wa pouni 100,000 kwa wiki.

“Kama tungemlipa chipukizi wa miaka
19 kama tulivyotakiwa kufanya kwa Luke Shaw tungekuwa kufa.
“Tungejiua wenyewe katika matumizi mabaya na
hali katika vyumba vya kubadilishia nguo ingekuwa mbaya sana”alisema Mourinho.

‘’Kama utamlipa
pesa nyingi kinda wa miaka 19 akiwa ni mchezaji mzuri ni sawa,lakini kama
utaendelea kwa mtindo huo kwa wachezaji makinda itakuwaje baadae kwa kuwa kunachipukizi wengi ambao vipaji vyao
vinaibuka.”alisema Mourinho.
.“Watasema kuwa,Itawezekana vipi?nimekuwa
katika klabu hii zaidi na kufanikiwa
kucheza zaidi ya mechi 200 na kushinda makombe kibao,itawezekana vipi kinda la
miaka 19 aje hapa apate pesa zaidi yangu,?
Alisema kuwa kama
hali hiyo itaruhusiwa katika klabu hiyo inaweza kupelekea uchumi wa
klabu kupolomoka.
‘’Unaweza kusema Filipe hana thamani ,huku wapenzi wa mpira Brazir wanampenda Filipe acheze katika
kikosi cha timu hiyo hata hivyo ameshisha Ligi ya Spain La liga,ameshinda
mashindano ya Ulaya,na kacheza klabu bingwa nusu fainali,lakini huyu anaonekana
anathamani ndogo kuliko kinda la hapa uingereza,katika wastani wetu wa malipo ya mshahara yeye ndio sahihi kwetu ’’alisema Mourinho.
Hii sasa kali
ReplyDelete