Monday, 14 July 2014

Dondoo za usajili ulaya;Khedira kutua Arsenal







DIRISHA la Usajiri limefunguliwa lasmi balani ulaya huku klabu mbalimbali zikiwa zimejitupa katika harakati za kutafuta wachezaji wanao wahitaji.
Usajili huo ukiwa ni pamoja na;
Arsenal kuwa wanauwakika wa kumchukua Sami Khedira baada ya Chelsea kupunguza ushindani.
Manchester United  wanakaribia kumchukuwa kiungo wa Juvventus Arturo Vidal kwa pound 32m.
Toni Kroos amethibitisha kuwa atajiunga na Real Madrid msimu ujao baada ya Man United na Chalsea kuonyesha hali ya kukata tama.
Sami Khedira
Na Tottenham wanaelekea kushindwa katika kusajili baada ya winga wao Michael Dawson na Gylfi Sigurdsson kukataa kuondoka White Hart Lane.Germany star Sami Khedira is close to joininh Arsenal[GETTY]
Manchester City kumaliza usajili wao kwa kiungo mkabaji wa Klabu ya Port Eliaquim Mangala ambapo watahitajika watoe kiasi cha pound 32m.
Arjen Roben hatojiunga na kocha wake wa timu ya Taifa Louis Van Gaal ambaye anatarajiwa kuwa kocha wa klabu ya Manchester United .
Roben aliyaongea hayo baada ya kuwathibitishia mashabiki wa Bayern Munich kuwa maisha yake ya soka yapo hapo.

No comments:

Post a Comment