Tuesday, 22 July 2014

MOURINHO:Ninakila sababu ya kuchukua kombe msimu huu



Kocha mkuu  wa klabu ya CHELSEA Jose Mourinho amesema kuwa kikosi chake  kiko vizuri na  kinauwezo wa kuifunga klabu yeyote  katika ligi hiyo  na kufanikiwa kuchukuwa kombe.






Kocha Mkuu wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho
Akizungumza jana na waandishi wa habari  katika maskani ya klabu hiyo iliyoko pembeni mwa jiji la London  alisema kuwa hakuna sababu ya kujituma kwa bidii kama hawaatofikilia kuwa mabingwa msimu huu.
“kama tusinge fikilia kuwa mabingwa hakuna sababu ya sisi kuwepo hapa na kujituma”alisema Mourinho.
Mourinho ndiye kocha aliyeifikisha klabu hiyo nafasi ya tatu msimu uliopita lakini amesisitiza kua kumaliza katika nafasi hiyo haikuwa dhumunu lake.
Alipojaribu kudhungumzia  kikosi kilichoko sasa akasemakuwa anaamini vijana wake watafanya vizuri kwa kuwa wamesha iva vya kutosha kuchukuwa kombe kutoka kwa Man City

No comments:

Post a Comment