
Baada
ya jitihada nyingi za kumtafuta Kingwendu, hatimaye mwandishi
alifanikiwa kumpata na kukiri kuwa alizipata habari hizo wakati
ambapo yuko safarini na majirani walimueleza kilichotokea kuwa mkewe na
jirani huyo aliyembaka mida ya saa tano usiku wote walikuwa wamelewa.
”Kama
ulivyosikia hiyo habari, mimi nilikuwa sipo ndo nimerudi juzi, nataka
nianze kufuatilia sheria sema sasa hivi nimefiwa na dada yangu
tunapeleka msiba kijijini na baada ya hapo ninapumzika halafu ninasafiri
Nairobi, nikirudi Nairobi tarehe tano kuanzia tarehe sita ndo naanza
kufuatilia.” alisema Kingwendu.
No comments:
Post a Comment