Thursday, 24 July 2014

Baada ya nani kuwa kiongozi wa Iraq Hatimaye kimeeleweka



Rais mpya wa Iraq Fuad Msum akihutubia Taifa hilo

Bunge la Iraq leo limemchagua Fuad Masum kuwa Rais wanchi hiyo baada ya miongo miwili kuwahi kuwa waziri mkuu na kuondoa kitenda wili cha nani kuwa Rais.
Akitangaza matokeo hayo, Speaker wa Bunge hilo,Salim al Jubur,kuwa Fuad Masum aliyezaliwa 1938 akitokea katika dhehebu la Kurdish kuwa ni Rais wanchi hiyo.

Uchaguzi huo ambao ulianza siku ya jumanne na kuwakutanisha wagombea wawili tofauti akiwa Fuad Masum na Barham Saleh na hatimaye Masum kufanikiwa kushinda kwa kura 211 huku kura 17 zikipotea.
Masum katika hotuba yake kwa mara ya kwanza aliyoitoa muda mfupi alisema kuwa atajaribu kufungua milango  kutoka katika madhebu tofaut kwenye uongozi wake ilikuondoa tofauti zilizopo.
Ikumbukwe kuwa mapambano kati ya vikosi vya Serikali na waislam wa dhehebu la sunni kaskazini na magharibi ya Baghdad yamepelekea pawe na Taifa Jihad la kiislam (IS) na kufanya Taifa la Iraq kumeguka vipande huku serikali ikitafuta nama ya kurudisha amani iliyopotea.


No comments:

Post a Comment