
Tangu michezo ya Jumuiya ya Madola mwaka wa 2006 Tanzania iliposhinda medali mbili - dhahabu kupitia Samson Ramadhan na shaba ya Fabian Joseph Naali - Tanzania haijashinda medali tena kwenye michezo hii.
Je, mwaka huu unaona Tanzania itazoa dhahabu nyingi zaidi mjini Glasgow? toa maoni yako katika ukurasa wetu wa Facebook:issaadam21@yahoo.com
No comments:
Post a Comment