Wednesday, 30 July 2014

Msanii Mwingine wa Bongo Anaswa China Kwa Tuhuma za Madawa ya Kulevya

HUKU modo maarufu Bongo, Jacqueline Fitzpatrick Cliff ‘Jack Patrick’, akisota jela nchini China kwa skendo ya kukamatwa na madawa ya kulevya (unga), mrembo mwingine ambaye aliwahi kujaribu kuchomoka kisanii kwenye muziki wa Kizazi Kipya almaarufu kwa jina la Winnie Mandela, naye amenaswa na polisi nchini humo…Inasemakana alikuwa Amebeba madawa tumboni na kupita vizuizi vyote mpaka alipoingia mtaani ndipo msako wa Polisi ulipomkumba na kumtia nguvuni….Hali Imekuwa Mbaya sana China kwa Watanzania kwani wanaishi kama Sungura.


No comments:

Post a Comment