Wednesday, 16 July 2014

Manchester United sasa mambo poa



MANCHESTER UNITED  wamethibitisha kuvunja record baada ya kupata udhamini  wa nguvu kutoka kwa Adidas  ambao wanatatoa  pesa za uingereza  750M kwa  udhamini wa miaka kumi.

Mkataba huo mpya  ambao utakuwa  kwa miaka kumi utaanza  kufanya kazi kuanzia  mwakani na utakuwa na thamani ya zaidi mara mbili ya ule wa hapo awali  kwa NIKE.

Aidha mkataba huo umetoka na waliokuwa wadhamini wa klabu hiyo NIKE kudai kuwa mahitaji ya klabu ni yalikuwa makubwa kulinganisha na makubalianoyao.
Hata hivyo NIKE  wataendelea kama kwaidaa mpaka mwaakani ambapo mkataba huo utaanza kufanya kazi.

No comments:

Post a Comment