Kwa mujibu wa taarifa kutoka BE IN SPORT katika mtandao
unaomilikiwa na Qatari pia wamiliki wa klabu hiyo(PSG) inayocheza ligi kuu ya
Ufaransa zinasema kuwa tayari klabu mbili zimeshakubaliana kimsingi kwa mkopo wa
pouni 8m ambayo watakuwa wakimuhudumia kila kwa msimu ujao.
Hata hivyo ili dili hiyo iweze
kufanya kazi katika usawa wa kimichezo PSG watalazimika k numuuza mchezaji
mwenye jina kubwa klabuni hapo kuendana na sheria inavyowataka kufanya.
Man United wanamatumaini ya
kumchukua ambaye walikuwa wakimsaka kwa muda mrefu (Edinson Cavani),ingawa
mchezaji huyo kutoka taifa la Uruguay anafuraha kumuona Di Maria akijiunga na
mabingwa hao wa ligi 1.
Kuhusu Louis van Gaal
"Muda wato tunaangalia mchezaji
anayefaa kuungana katika kikosi chetu,” Van Gaal akiongea na mtandao wa
L'Equipe ulioko Ufaransa.
Van Gaal alisema"Angel di Maria
ni mchezaji mwenye hadhi ya kimataifa na mwenye kipaji,Tuna mkaribisha katika
kikosi chetu."
No comments:
Post a Comment