NEVILLE kutoendelea tena na kazi ya ukocha, Manchester United
Neville alitambulishwa rasmi kufanya kazi ya uchambuzi kwenye TV
wakati wa kombe la dunia majira ya kiangazi mwaka huu nchini Brazil. PHILI
Neville amepiga chini kazi ya ukocha chini ya Louis Van Gaal katika
klabu ya Manchester United na msimu ujao atakaa kwenye sofa za TV
kuchambua mechi.Baada
ya kutangazwa kuwa miongoni mwa watu wanaounda timu ya MOTD katika
harakati zake za kutimiza miaka 50 ya kutangaza ligi, Neville aliwaambia
wafuasi wake milioni moja kwenye mtandao wa Twita kuwa hataendelea tena
na kazi ya ukocha Manchester United ambapo alifanya kazi kama kocha
msaidizi wa kikosi cha kwanza chini ya David Moyes msimu uliopita.
No comments:
Post a Comment