
Jumapili iliyopita Gunners waliweza kuwachezesha wachezaji wao
wapya na kuambulia kipigo cha 1-0 dhidi ya
Monaco katika kombe lao la Emarate cup .
kocha wa klabu hiyo Arsene Wenger amesema kuwa
anategemea kuchezesha kikosi ambacho kitaleta ushindani katika mechi ya juma
pili ambapo watakutana na Man City katika uwanja wa Wembley wachezaji wa
Arsenal wanao tegemewa kuwanza ikiwa ni pamoja na Sanchez (£35m), Debuchy (£12m) na (Chambers
£16m).
Alipoulizwa kama anampango wa
kuchezesha kikosi ambacho kilicheza na Monaco jumapili iliyopita Wenger alisema”Ndio
ikiwezekana kuwachezesha watacheza”.
.
Katika maandalizi ya jumapili na Manchester City
“Bado hatupo tayari , physically, lakini
tutakuwa vizuri zaidi kuliko ilivyokuwa kwa Monaco.Hata hivyo ni jaribio zuri
kucheza na Man City, kwa kuwa wao ni
mabingwa wa msimu uliopita”alisema wenger na kuongeza kuwa hana uwakika kama
David Ospina ataweza kucheza mechi hiyo kutokana na kutokuwepo mechi iliyopita.
No comments:
Post a Comment