Friday, 1 August 2014

EXCLUSIVE:Karrueche Tran na Chris Brown kuachana




Vyanzo mbalimbali majuu vimeripoti yanayoendelea katika mahusiano ya Chris Brown na mwana dada Karrueche vikisema Karrueche alishtukia mbinu chafu ya  Chris hivi karibuni alipo "like"picha mbili za shabiki  kwenye Instagram ya Rihanna wakati wakiwa pamoja.


Hata hivyo Rihanna alikuwa ni sehemu ndogo ya matatizo yaliyojitokeza kwa Karrueche  na Chris.

Taarifa hiyo inasema kuwa kwa muda mrefu Karrueche alikuwa hana raha ...huku ikidaiwa kuwa kwa sababu Chris kuwa na vitndo vya kitoto mara kwa mara na kutumia muda mwingi kupati kuliko kufanya shughulizake za muziki
“Chris act immature,like child and he’s ruining his life by spending more than making music”alinukuliwa Karrueche.

Vyanzo hivyo vya habari vinasema kuwa vitendo vya chris vimekuwa vya kukatisha moyo.ikiwa wiki hii alikwenda St Tropez na kumchukua ratokanae huku mwenyewe akiwa hajui.

Pia vyanzo hivyo vinasema kuwa Maamuzi ya Karrueche si jambo la  wivu kwa kuwa aliamua kubadili namba ya simu yake ya zamani ili hasiweze kuwasiliana na Chris na inaweza kuchukuwa muda mambo kuwa sawa.

No comments:

Post a Comment