Kocha Mkuu wa Monaco Leonardo
Jardim ameweka wazi kwamba nyota wake Radamel Falcao hatokwenda popote.
Akiwa
mchezaji mwingine anayetoka Colombia akitakiwa na Madrid baada ya uvumi kuwa
kunauwezekano wayeye kumfuata James
Rodriguez aliyoko Real Madrid.
"Katika
hatua hii Falcao ni mchezaji wetu na Falcao atakuwa na sisi kwa asilimia 100 na hatutaki
kumwacha," Jardim alisema.
"Ni
huruma kumpoteza James lakini tunaweza
kuhesabu juu ya Falcao kuwepo hapa. Bila kujali nini watu wanasema, yeye ni
mchezaji wetu. Yupo katika hatua za mwisho kuakikisha anarudi katika kiwango
chake na katika msimu huu atakuwa na sisi."
Monaco
walimpoteza Rodriguez kwa pouni 63million lakini ili waweze kumudu kuwepo
katika nafasi ya kwanza katika ligi ya mabingwa wataitaji kumbakiza star huyo
wa Colombia ikumbukwe kuwa Monaco kushiriki ligi ya mabingwa hatua ya makundi
kwa miaka tisa.
Falcao
alianzia benchi huku Dimitar Berbatov akianza katika uwanja wa Arsenal Emirates
siku ya Jumamosi, na Monaco wakaibuka na ushidi wa 2-1 dhidi ya Valencia katika kombe la wao Kiarabu Kombe la Emirates Cup tie.
Falcao alikuwa
akicheza kwa mara ya kwanza tangu apate maumivu ya kuumia goti Januari na
kupelekea kutokushiliki Kombe la Dunia nchini Brazil.
No comments:
Post a Comment