Friday, 1 August 2014

MOURINHO:Peter Cech anaruhusiwa kuondoka Chelsea akitaka

JOSE Mourinho ameweka wazi kuwa kipa namba moja wa muda mrefu wa Chelsea, Petr Cech anaweza kuondoka klabuni hapo majira haya ya kiangazi mwaka huu.
Baada ya Thibaut Courtois kurejea klabuni kutokea klabu ya Atletico Madrid alipokuwa anacheza kwa mkopo, tetesi zimeshaanza kuzuka kama kipa wa kimataifa wa Jamhuri ya Czech ataendelea kushikilia namba moja katika dimba la Stamford Bridge.
Mtandao wa Goal unafahamu kuwa Chelsea wapo tayari kusikiliza ofa kutoka klabu ya PSG iliyoonesha nia , na Mourinho amesema Cech anaweza kuondoka kwa kutegemea Mark Schwarzer kuwa kipa namb

No comments:

Post a Comment