Mahakama ya kikatiba nchini
Uganda imefutilia mbali sheria dhidi ya wapenzi wa jinsia moja ambayo
ilisababisha mataifa ya magharibi kuinyima msaada.
Mahakama ilisema kuwa mswada huo kabla ya
kuidhinishwa kuwa sheria ulipitishwa na wabunge ambao idadi yao
haikutosha kupitisha mswada na kwa hivyo ni kinyume na sheria.
Baadhi ya waandamanaji waliounga mkono serikali kwa kuharamisha mapenzi ya jinsia moja
Mataifa kadhaa ya Magharibi yamesitisha msaada kwa Uganda hasa baada ya sheria hiyo mpya kupitishwa.
No comments:
Post a Comment