
Akizungumza na waandishi wa habari ivi karibuni kocha mkuu wa Real Madrid Ancelotti alisema kuwa wanajitaidi kuakikisha Ronaldo anacheza katika mechi kati ya Man United jumamosi, baada mechi ya kirafiki iliyofanyika Dallas dhidi ya AS Roma kufungwa 1-0.
"Ameuzulia vyema leo katika vipindi vyote vya mazoezi na kufanya vizuri kama anavyo fanyaga siku zote," alisema Anchelotti na kuongeza kuwa bado wataangalia kama Ronaldo ataweza kujiunga na timu katika mazoezi ya pamoja na kucheza katika mechi ya kirafiki dhidi ya Manchester jumamosi lakini wanatakiwa kuwa makini.
"Ameuzulia vyema leo katika vipindi vyote vya mazoezi na kufanya vizuri kama anavyo fanyaga siku zote," alisema Anchelotti na kuongeza kuwa bado wataangalia kama Ronaldo ataweza kujiunga na timu katika mazoezi ya pamoja na kucheza katika mechi ya kirafiki dhidi ya Manchester jumamosi lakini wanatakiwa kuwa makini.
No comments:
Post a Comment