Kutokana
na tetesi kwamba
Chris Brown katemwa na aliyekuwa mpenzi wake Karrueche, madai hayo ameyakanusha na kusema kuwa yeye ndiye
aliye mtema kimwana huyo.
Taarifa
kutoka vyanzo mbalimbali ambavyo vipo karibu na wapenzi hao zinasema kuwa Chris alishtushwa na habari zilikuwa kuwa
zimeenea kwamba yeye kuachwa na Karrueche badala yeye kumuacha.
Taarifa hizo zilipo takiwa kutaja Sababu
zinazodaiwa kuachwa kwa karrueche zinasema kuwa
Chris alipogundua Karrueche alikuwa akichati na mwanaume mwingine
na kutumiana picha wakati wakiwa pamoja mara.
Taarifa
hiyo ilidai kuwa Brown alipatwa na hasira baada ya mwana dada huyo kufanya
mahojiano katika maonyesho ya mavazi yake na kuzungumzia juu ya uhusiano wao
Ikumbukwe Karrueche alinukuliwa na baadhi ya vyombo vya habari huko Marekani ivi karibuni akisema kwamba licha ya Chris kuendelea kuwa karibu na Rihhana lakini kinacho muhudhi zaidi ni kwamba bado anavitendo vya kitoto na kuendekeza sana bata na wanawake kuliko shughuli zake za muziki kitu ambacho amekichoka.
No comments:
Post a Comment