Saturday, 2 August 2014

Davido atangaza Ngoma mpya aliyomshilisha mkali kutoka Maybach Music Group



Skelewu, Gobe, Ekuro,One of a kind,Aye ni baaadhi ya nyimbo ambazo zinamuweka Davido kwenye chati ya muziki na kumsaidia kushinda tuzo mbalimbali kama BET,MTV na nyingine nyingi.
Wiki ijayo mashabiki wa Davido wanatajia kupata kusikiliza nyimbo mpya kutoka kwa Davido akiwa pamoja na member wa MMG anayetambulika kwa Wale. Wimbo unaitwa Won Le Ba na taarifa hii imeripotiwa na Davido mwenyewe.

No comments:

Post a Comment