Friday, 8 August 2014

Wema sepetu afunguka kuhusu kuzaa..........!!

Wema Leo Ameamua Kuwafungukia Wale wanaopenda kumforce azae, Wema aliweka Picha ya Kim Kardashian akiwa amembeba Mtoto wake na Kuandika Mbona Huyo Kazaa akiwa Miaka ya 30 sasa kwanini watu wanamforce wakati yeye bado yupo 20′s Jisomee Mwenyewe hapo chini:
wema

No comments:

Post a Comment