Nyota
wa nyimbo za Injili nchini, Rose Muhando amesema anatamani sana kuhamia
kanisa la Ufufuo na Uzima linaloongozwa na Mchungaji Josephat Gwajima
kutokana na mahubiri yake mazuri.
“Natamani
nihamie katika kanisa la Mchungaji Gwajima lakini mimi huwa napenda
kumuita Askofu kwa sababu ya upako alionao, naomba ikiwezekana na mimi
nihamie hapa,” alisema Rose.

No comments:
Post a Comment