Monday, 1 September 2014

Radamel Falcao,atua Man United huku Chicharito kutua Madrid kwa mkopo wa muda mrefu

Real Madrid have confirmed the signing of Javer Hernandez from MAnchester UnitedMan United wamethibitisha kupokea kiasi cha pauni milioni 1.5 kwa mkopo wa muda mrefu wa Chicharito kutoka kwa Real Mdrid badala ya pauni milioni 17.4 ambayo walioiitaji wamuuze jumla.

Chicharito ambaye alijiunga United 2010 lakini mara nyingi alikuwa akitumika kama mchezaji wa akiba akitokea benchi hali hiyo ilitishia kipaji chake ambapo katika kipindi cha David Moyes alifanikiwa kuanza katika kikosi cha kwanza mara sita.
Kwamujibu wa taarifa ya mtandao wa timu hiyo ilisema kuwa Javier Hernendez amejiunga Real Madrid kwa mkopo wa muda mrefu huku ikiwa mara kwanza kwa timu ya Madrid kusajili mshambuliaji kwa mkopo.
Mshambuliaji mwingine ambaye anategemewa kuondoka katika timu hiyo ni Danny Welbeck ambapo anatarijiwa kujiunga na Tottenham muda wowote kabla ya msimu wa usajili kumalizika leo saa sita usiku.
Hata hivyo kunaripotiwa kuwa kuondoka kwa Chicharito kumefungu milango ya mshambuliaji Falcao ambaye amejiunga na Man United kwa mkopo wa mwaka mmoja

No comments:

Post a Comment