Monday, 11 August 2014
Maliki kupambana mahakamani, kuulinda wadhifa wake dhidi ya Rais mpya wa Iraq
Waziri Mkuu wa Iraq Nouri Al Maliki anapeleka vita vyake vya kuuulinda wadhifa wake mahakamani, baada ya kutangaza kwamba atachukua hatua za kisheria dhidi ya rais mpya wa nchi hiyo, Fuad Massoum, kwa kukiuka katiba, kutokana na kushindwa kumpa waziri mkuu kutoka kundi kubwa zaidi la wabunge bungeni jukumu la kuunda serikali, mpya.
"Rais fuad Massoum hana haki kuchelewesha uteuzi wa waziri mkuu kutokana na matokeo ya uchaguzi uliopita, hali hii itazidisha matatizo ya kiusalama, ndio maana serikali inakwenda kotini kumshaki rais kwa kukiuka katiba," alisema Maliki.
Hata hivyo mahakama ya juu nchini humo imemuunga mkono Maliki katika harakati zake za kutaka kuiongoza tena nchi hiyo kwa muhula wa tatu.
Vyombo vya habari nchini humo Mahakama hiyo imeamua kwamba kulingana na sheria muungano wa Maliki walio wengi bungeni ndio walio na haki ya kupema jukumu la kuunda serikali, kwa hiyo rais Fouad Massoum atakuwa hana budi ila kumpa Maliki jukumu la kuunda serikali mpya.
Kwa upande wake Marekani inayounga mkono hatua ya rais mpya imesema inatumai Nouri al Maliki hataingilia siasa za nchi hiyo.
Marekani kupitia waziri wake wa mambo ya nje John Kerry imesema kuundwa kwa serikali ni hatua muhimu ya kuwepo kwa udhabiti na usalama nchini humo huku akiongeza kwamba kitu wananchi wanachokitaka kwa sasa ni amani kwa hiyo nguvu kupita kiasi hazipaswi kutumiwa na makundi ya kisiasa wakati huu wa kipindi cha demokrasia kwa Iraq
Njemba labaka mtoto wa mwaka mmoja jijini Arusha
Tukio
hilo lilitokea Jumapili ya Agosti 3, mwaka huu ambapo mtuhumiwa huyo
anadaiwa kumbaka mtoto huyo kwa saa 9 na alimrejesha nyumbani kwa mama
yake usiku wa manane.
Akizungumza na mwandishi, mama wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mwitango alisema siku ya tukio, asubuhi alimkabidhi mtoto wake kwa jirani yake aliyemtaja kwa jina la Mustafa Kabananga na yeye kwenda kwenye kikundi cha akina mama.
Akizungumza na mwandishi, mama wa mtoto huyo aliyejitambulisha kwa jina moja la Mwitango alisema siku ya tukio, asubuhi alimkabidhi mtoto wake kwa jirani yake aliyemtaja kwa jina la Mustafa Kabananga na yeye kwenda kwenye kikundi cha akina mama.
Usiku saa mbili alikwenda kwa jirani yake huyo kumchukua mtoto wake lakini akaambiwa alichukuliwa na Rajabu.
“Nilikwenda
nyumbani kwa mtuhumiwa, yeye anaishi na wazazi wake. Hata hivyo,
sikumkuta mwanangu wala mtuhumiwa, nikarejea nyumbani.
“Lakini kabla sijarudi, nilimwambia mama wa mtuhumiwa kuwa mwanaye kaondoka na mtoto wangu akaniambia nirudi nyumbani nikaendelee kumtafuta nikimkosa niende kwake ili akajue cha kufanya, aliamua kwenda polisi’’ alisema mwanamke huyo.
“Lakini kabla sijarudi, nilimwambia mama wa mtuhumiwa kuwa mwanaye kaondoka na mtoto wangu akaniambia nirudi nyumbani nikaendelee kumtafuta nikimkosa niende kwake ili akajue cha kufanya, aliamua kwenda polisi’’ alisema mwanamke huyo.
“Ilikuwa
saa 9 usiku nikiwa narejea nyumbani kutoka polisi, nilimkuta mama mzazi
wa mtuhumiwa akiwa na mtoto wangu akimrejesha kwangu lakini mtuhumiwa
hakuwepo.
“Niliamua kumchunguza vizuri mwanangu ndipo nilipogundua kuwa sehemu zake za siri zimevimba kupita kiasi huku damu zikimtoka.
“Niliamua kumchunguza vizuri mwanangu ndipo nilipogundua kuwa sehemu zake za siri zimevimba kupita kiasi huku damu zikimtoka.
“Nilikwenda
kumweleza mama yake jinsi mwanaye alivyomtenda mtoto wangu na kumwachia
mtoto ampeleke hospitali, alinisihi nisitoe taarifa za tukio hilo
popote na akaniahidi kunipa shilingi laki moja,” alisema mama huyo.
Imeelezwa
kuwa mama wa mtuhumiwa baada ya kukabidhiwa mtoto huyo hakumpeleka
hospitali badala yake alikuwa akimtibu kwa kutumia miti shamba.
Baadhi ya majirani walikerwa na kitendo cha mwanamke huyo ambapo walimvamia na kumtolea maneno makali ya kumtaka alifikishe suala hilo kwenye vyombo vya sheria.
Baadhi ya majirani walikerwa na kitendo cha mwanamke huyo ambapo walimvamia na kumtolea maneno makali ya kumtaka alifikishe suala hilo kwenye vyombo vya sheria.
Kufuatia
kelele za majirani ndipo alipokubali kurudi Kituo cha Polisi cha Unga
Ltd ambapo polisi walifika nyumbani kwa mama wa mtuhumiwa na kumchukua
mtoto huyo kisha kumwandikia hati ya matibabu (PF3) na kumpeleka mtoto
huyo katika Hospitali ya Mount Meru ambako anatibiwa.
Polisi
hao walifungua jalada la mashtaka la kubaka na kunajisi lenye namba
Ung/RB/2473/2014, bado mtuhumiwa hajakamatwa kwani alikimbia baada ya
tukio hilo lakini mama yake ameshikiliwa kwa mahojiano .
Mtu mmoja auawa kikatili kisha mwili wake kuchomwa moto na watu wasiofahamika Morogoro
Kwa
mujibu wa wananchi walishuhudia tukio hilo wamesema wameshuhudia kundi
la madereva wa pikipiki wakimshusha mtu huyo kisha kummwagia mafuta ya
taa na kumchoma moto ambapo wameomba jeshi la polisi kufuatilia tukio
hilo walohusika wachukuliwe hatua.
Wananchi
wakazi wa kata ya mkundi wamesema hilo sio tukio la kwanza kutokea
kwa watu kuuwawa na kisha kuchomwa moto na kuomba vyomba vya sheria
kufanya kazi zake kwani huenda matukio hayo yanatokana na watu kuchoshwa
na baadhi ya matukio ya wizi ambayo watuhumiwa huachiwa huru na vyombo
vya sheria pasipo kuchukuliwa hatua.
Jeshi la polisi limethibitisha kutokea kwa tukio hilo .
Sunday, 10 August 2014
The 7 Worst Mistakes People Make In Their 30s
Your 30s are typically a time for
settling down after using your 20s to take risks and find yourself.
Many 30-somethings are busy raising
a family and rising through the hierarchy at work.
Those who have already been through
that decade say that as their responsibilities accumulated, it became easier to
neglect relationships and ignore opportunities that they would never get again.
Quora users discussed lessons they
learned in the thread: "What is the biggest mistake you made in your 30s and what
did you learn from it?"
We've collected some of the best
responses:
They
abandon their loftier aspirations.
Twenty-somethings are often willing
to settle for a job they are not passionate about, but before they know it,
that job turns into their career. An anonymous poster writes that his or her biggest
mistake of his or her 30s was to become "addicted to a monthly
salary," in the sense that he or she settled for job security over career
satisfaction.
If you've ever wanted to start a
business or pursue a side project, it will only get more difficult as your
responsibilities increase.
They
put their career ahead of family and friends.
"Don't just work. Make
memories. The older you get, the harder it is to make meaningful relationships.
Foster those while you're young," writes Microsoft product designer Michael Dorian Bach,
who is now in his late 30s.
They
neglect their health.
Bach writes that the pursuit of a career can also
be a drain on one's health. "Be healthy. That is priority 1. Don't get
into your 30s being slow and tired all the time. It sucks," he says.
Develop an exercise routine, and enjoy your mobility while you're still young.
They
miss the chance to have kids.
CEO coach Alison Whitmire
shares a personal story about how she took getting pregnant for granted in her
30s and chose to pursue a new career opportunity instead of trying to have a
child. Years later, after a failed pregnancy and then a failed marriage, she
remarried and had a baby at 43. She realizes now that no one is ever adequately
prepared to have a child, and if you want one, it's best to do so before it's
too late.
They
don't spend enough time with their aging parents.
Entrepreneur and blogger James Altucher,
who is now 46, writes about a particularly difficult memory for him: "When
I was 34 I hung up the phone on my dad in an argument and never returned his
calls. Six months later he had a stroke and died. A week before that he had
emailed me to say hello but I didn't return the email. I'm sorry, Dad."
It can be easy to forget that your
parents grow older as you do. Don't take them for granted.
They
don't set up a financial foundation for the future.
Altucher writes about the many times in his 30s
he bet practically all of his money on a business venture and then lost all of
it. Altucher is doing well now, but he looks back on his failures as the result
of recklessness.
As your responsibilities grow, it
can seem like what you put into savings won't amount to much come retirement,
but it will only become harder to start saving in your 40s.
They
stop having fun.
Just because you're not in your 20s
anymore doesn't mean you need to give up enjoying life. Bach says he spent
the early half of his adult life chasing money, and it only made him unhappy
and more cynical about life.
Go on dates with your significant
other. Take your kids on trips. Go to concerts with your best friends. Just
don't forget that the money you work to make is useless if you're miserable.
Arsenal 3-0 Man City: 5 things we learned from the Community Shieldd
As
Arsenal hammered Man City in the season's traditional curtain-raiser, we take a
look at what we can conclude from our afternoon at Wembley
Arsenal won their first piece of
silverware this season, beating Manchester City 3-0 to claim the Community
Shield at Wembley.
Santi Cazorla netted the opener
before Aaron Ramsey doubled their lead before half-time.
Substitute Olivier Giroud scored a
stunner from distance to put the game beyond a weakened Manchester City side,
who were missing the likes of Vincent Kompany, Bacary Sagna, Sergio Aguero and
Pablo Zabaleta.
We
can't take too much from this
Arsenal were by far the better side
and deserved to win by a margin, but it would be foolish to read too much into
a game where both sides were missing plenty of first-choice players.
Nobody expects Dedryck Boyata to
start when Manchester City open their Premier League title defence next week,
and similarly the likes of Bruno Zuculini are incredibly unlikely to feature.
But Manuel Pellegrini will still be
bothered by his side's lack of cohesion and urgency.
The Chilean, usually quite reserved,
was seen jabbing and prodding feverishly on the touchline during the first half
as his side lacked urgency. It's not just the names that need to return to this
City side, it's last season's fluency and desire.
Meanwhile for Arsenal, second string
or not, it was a great way to finish pre-season with the three Germans yet to
return and at least one new signing to come.
Four-four-f*****g-two
Formation men: Pellegrini got it
wrong up against Wenger's side
Manuel Pellegrini stuck with Mike
Bassett's favourite formation for this game and it was a significant
contributory factor in his side getting pummelled.
It is undoubtedly a useful shape,
and one that will continue to see a revival this season with the parallel rise
of the 3-5-2, but up against Arsenal's classic 4-2-3-1 there was simply too
much for Fernando and Yaya Toure to deal with in that central area.
Wenger's men simply overran the game
in midfield early on and the champions never got a foothold. Stevan Jovetic
didn't particularly drop in and help out his floundering teammates while Edin
Dzeko strolled around aimlessly in attack, and it was all too easy for the
Gunners.
Ndege nyingine yaanguka Iran nakuua abiria wote
Ndege hiyo inayojulikana kama Iran 141 ilitengezwa nchini Iran kwa teknologia ya Ukraine imepata ajari na kuua watu wote waliokuwepo kwenye hiyo ndege.
Kituo cha television cha taifa kimetangaza kuwa ndege hiyo ilikuwa na abiria 40 na uchunguzi wa ajali hiyo unaendelea.
Iran imekabiliwa na ajali kama hizo katika siku za hivi karibuni kutokana na ndege zake zilizozeeka mbali na marekebisho mabaya inazozifanyia.
Promoter na Meneja mkubwa duniani abadiil jinsia na kuwa mama wa nyumbani
Dunia ni ya kipekee pia ni
ngumu-kuzungumza kwamba aliyekuwa promoter na meneja ambaye alifanya Lennox Lewis kuwa World
Champion sasa anaishi kama mwanamke aitwaye Kellie
Kwa miongo mitatu, akijulikana
kama pua ngumu(Hard nose)- Frank Maloney akitawala kama moja ya wafalme wa
dunia, macho world of champion.
Maloney alikuwa promoter
na meneja aliye fanikiwa kumuongoza Lennox Lewis kuwa muingereza wa kwanza kuwa
bingwa wa dunia ambaye hakuwahi kupigwa karibu karne kupita.
Mamilioni ya wapenzi wa
ngumi wanamtazama kama sehemu ya kujifunza katika ulingo baada ya
ushindi wake 1992.lakini sasa anafahamika kama mama wa nyumbani.
Lakini nje ya ulingo,
Frank iliingia katika siri kubwa, na kuanza kutaabika katika mapambano ya yake huku
akihofia angeweza kamwe asingewezakushinda.
Frank Maloney, 61, imegundulika
kuwa anajiandaa kufanya mabadiliko ya jinsia na anaishi kama mwanamke aitwaye
Kellie.
Katika mahojiano, anaelezea jinsi alivyo anza kuisi
utofauti katika mwili wake kwa vile yeye
alikuwa mtoto na hatimaye alifanya
uamuzi wake ambao anauita wa kijasiri na kuwa mwanamke.
Frank akiwa amewahi kuoa mara mbili-na kufanikiwa kupata watoto wa tatu
pia inaonyesha mke wa pili baada ya kupata taarifa juu ya mumewe akapata uchungu
na kuamua kuachana huku hofu ya kuwepo kwa kuzorota kwa uwezo wake wa ndondi ukinukia.
Lakini mwisho, kwa Kellie, anaishi kama mwanamke katika suala la maisha au
kifo.
"Mimi nilizakiwa nikiwa
tofauti na daima nilitambua kuwa nilikuwa mwanamke," alisema Frank akaongeza kuwa sauti yake ngozi na hisia
ndivyo vilimfanya awe tofauti.
"Siwezi kuendelea
kuishi katika kivuli, ndio maana leo hii nimeamua kujitokeza hadharani.Kuishi
na kitu moyoni kwa muda mrefu matokeo yake kinaweza kukuzulu na kukuletea
matatizo,”alisema Maloney
KUHUSU WIVU
Katika mahojihano
yaliokuwa yakiendelea Maloney alipata nafasi ya kuelezea wivu akiwa kama
mwanamke na kusema"Kilicho kuwa kinanisumbua wakati nikiwa mtoto kwa kipo
sawa kwa kuwa nina uwezo kama mwanamke(Female brain)baada ya kurekebiswha na
madktari na kuwa na ubongo wa kike.Nilijua nilikuwa tofauti na watoto wengine
lakini ni dakika chache nakuwa kama wao muda mrefu na kuwa na wivu wa kisichana,”alisema
Maloney
Akijulikana kama Londoner
Kellie akiwa na zaidi ya mwaka ndani ya kipindi cha mpito akijifunza
kukabiliana na kuwa kama mwanamke.
Katika miaka miwili
iliyopita Maloney alikuwa na siri kufanyiwa matibabu ya homoni, mamia ya masaa
ya nywele kuondolewa electrolysis, kufundishwa kuwa na sauti ya kike na mtaalamu
wa ushauri nasaha.
Miongozo ya NHS katika hali ya transsexual lazima kutumia miaka miwili
kama unataka kuwa wakike kabla ya wao kukuruhusu kufanyiwa upasuaji wa marekebisho.
“Hisia na mavazi ya kike huko ndiko wanako
fundisha “alisema Maloney na kuongeza kuwa hakutaka kuvaa mavazi ya kike lakini
ilishindikana.
“Lakini sikuwa na uwezo wa
kumwambia mtu yeyote katika ndondi,”alisema Maloney akiongeza kuwa mtu ambaye alifanya nae kazi Uingereza,Jumuiya ya Madola na Ulaya ndondi
championi alikuwa ni Bingwa wa zamani wa dunia David Haye ikiwa katika level ya
cruiserweight.
Kellie(Maloney) - ambaye
alikuwa ameweza kumfanya Lennox Lewis
1989-2001 kutambulika ulimwengu wa ndondi na baadae kuamua kukabiliana na
ukweli na kujitambulisha kama yeye ni mwanamke.
Bunge la Katiba lawagawa wabunge wa CCM
Nchemba ambaye pia ni Naibu Waziri wa Fedha, Jumanne iliyopita akichangia wakati wa mjadala wa mabadiliko ya kanuni, alilitaka Bunge Maalumu la Katiba lijitathmini kama lina ulazima wa kuendelea wakati hakuna uhakika wa kupatikana kwa theluthi mbili.
Alisema kitendo cha Bunge hilo kukaa kwa siku 84 bila uhakika wa kupatikana kwa theluthi mbili kwa pande zote mbili inayohitajika kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya, hakiwezi kueleweka kwa Watanzania.
Nchemba alisema ni vyema kujua idadi ya wanaoshiriki awamu ya pili ya Bunge hilo ili kutoa uthibitisho kimahesabu kama uamuzi wa kuendelea kwa Bunge unaweza kuwa na maana.
Jana Mwigulu Nchemba alizidi kusisitiza kauli aliyoitoa akisema ni msimamo wake binafsi kama mtoto wa maskini. Alisema anatambua jinsi walipa kodi watakavyoumia, rasimu hiyo itakapokwama kupita kutokana na kukosekana kwa theluthi mbili ya pande zote.
Hata hivyo, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye juzi alijibu akisema kauli ya Nchemba ni mtazamo wake binafsi na hakuongea kama kiongozi wa chama hicho.
Lakini jana wabunge mbalimbali wa CCM walijitokeza hadharani wakisema wanaunga mkono kauli ya Nchemba ili hesabu ijulikane badala ya kuendelea kutafuna fedha za wananchi bila tija.
Saturday, 9 August 2014
Hali ya sintofahamu inayoendelea katika jengo la Machinga Complex lililoko katika Manispaa ya Ilala
Hali hiyo, inapelekea wafanya biashara wengi kutokuthamini kuweko
kwa jengo hilo na kuona halina msaada kwao,
kutokana na madai ya kuwepo kwa mapungufu makubwa katika maeneo ya jengo hilo ikiwa
ni pamoja na kuwepo kwa miundo mbinu mibovu, kukosekana kwa lift na kutokuweko
kwa kituo cha mabasi ambacho kitasaidia kuwepo kwa wateja wanao toka maeneo mbalimbali
jijini.
Mwenyekiti wa wanyabiashara katika jengo hilo,
Abubakari Rakesh, anasema jengo limekosa miundombinu ambayo ni muhimu kwa ustawi
wa wanyabiashara na kukosekana kwa kituo
cha mabasi ambacho kingekuwa chachu ya kupatikana kwa wateja.
“Miundombinu ya jengo si mizuri kwa kukosa vitu
muhimu kama vile lift,kituo cha mabasi na mazingira mazuri ya kufanyia biashara
ndio maana utaona wafanyabiashara wengi bado wapo soko la Karume kwakuwa pale
kuna kituo cha mabasi na kuna wateja wengi kwa hiyo ni vigumu kuwashawishi kuja
eneo amabalo kwao halina tija,” anafafanua Rakeshi
Rakeshi anasema hali hiyo imepelekea kuwaomba halmashauri
ya jiji na manispaa ya Ilala iwasaidie katika kutatua kero hizo za muda mrefu kwa
kuwa wao ndio wenye dhamana ya jengo lakini mpaka sasa hawajaonesha nia ya
dhati katika kutatua madai hayo ambayo yanatoka kwa wafanyabiashara.
Anasema mpaka sasa ni asilimia 30 ambazo zinaonesha
muelekeo wa mafanikio ya jengo toka limekabidhiwa kwa mamlaka husika japo kuwa
tunapiga hatua katika kushawishi lakini bado zinatakiwa jitihada za makusudi katika
kuhakikisha madai ya wafanyabiashara yana sikilizwa na kupatiwa ufumbuzi wa
kina.
Katika kukikisha wanatafuta ufumbuzi wa
changamoto zinazopatikana katika jengo hilo, Rakesh anasema Agosti 31 mwaka
jana walikutana na kamati ya (MILADI TAMISEMI) Dodoma,chini ya Mwenyekiti Dk Hamisi Kigwangala.
“Katika kueleza kamati matatizo yanayotukabili
ikiwa pamoja na jengo kukosa lift , kituo cha mabasi,na uwepo kituo cha kuoshea
magari mbele ya jengo licha ya kupelekea usumbufu kwa wateja pia inachangia muonekano
mbaya wa jengo, bado mpaka sasa hakuna matokeo yeyote kutoka katika kamati hiyo
ambayo yangetoa ufumbuzi, japokuwa walituahidi wangetupatia ufumbuzi wa suala
hilo mapema,” alisema Rakeshi.
Naye Mwenyekiti Msaidizi, Gerald B.Mpagama,anasema
madai ya wafanyabiashara yanagusa maslahi binafsi ya viongozi walio pewa
dhamana,inapelekea madai hayo yenye
msingi kutosikilizwa na kutatuliwa na viongozi hao jambo ambalo
linadhohofisha makusudio na malengo ya
serikali katika kufanikisha kuwepo kwa jengo hilo.
“Viongozi wa Halmashauri ya jiji na Manispaa ya
Ilala kutokana na maslahi yao binafsi wamekuwa chanzo cha kuwako kwa matatizo
haya kwa muda mrefu na kupelekea kudhoofisha kupatikana kwa ufumbuzi wa matatizo wakati wakijua fika kuwa kuna hasara
kubwa inayo patikana kutokana na malengo na makusudio ya kuwepo kwa jengo kutotimia
kama ilivyotarajiwa ,”anasema Mpagama.
Mpagama anasema kimsingi Rais Kikwete alitimiza
ahadi yake na kulikabidhi jengo tangu 2009, muda wote huo mamlaka husika
wameshindwa kusimamia majukumu yao na kusababisha hasara kubwa kutokana na
wafanyabiashara wengi bado hawaja shawishika kutokana na kutokuwepo na
miundombinu itakayo wavutia wateja.
“Hii sio (mall) kama Mlimani city, kama
viongozi wanashindwa kufahamu kuwa pesa nyingi zimetumika kujenga jengo hili na
mpaka sasa malengo hayajafikia hata robo,wao baada ya kutatua matatizo hili
tufikie malengo,wanadharau na kufikilia ubinafsi na ukiangalia kwa kina Meya wa
manispaa ya Ilala (Jeri Slaa) ndio hajafanya
lolote na kashindwa kusimamia kazi yake kwa maslahi ya umma,badala yake
yeye anaendeleza maslahi binafsi, ”alilalamika Mpagama.
Anasema zipo baadhi ya changamoto zinazo tokana
na utoro wa wanyabiashara ambao wanakuwa na vizimba ambavyo hawafanyii biashara
bado tunaendelea kufanyia kazi na katika kukabiliana na hilo tumeamua kuchukua
vizimba vyote kwa wafanyabiashara wote wasio na sifa na kuwapa wengine ambao
wenye sifa tunazo taka.
“kufungwa kwa vizimba vingi inasababiswa na
kuwepo kwa utoro na kupoteza sifa kwa wafanyabiashara wengi wenye vizimba, kutokana
na hali hiyo tumeamua kuchukua vizimba
vyote kwa wafanyabiashara walio poteza sifa na wasiokuwa tayari katika
maendeleo ya jengo hili ili tuwapatie
wenye sifa za kufanya biashara, ”anafafanua Mpagama.
Katika jitihada za kumtafuta Meya wa jiji la
Dar es salaam, Didas Masabuli, ili kujua kwamba ni namna gani ameweza kutafuta
ufumbuzi wa tatizo hilo la muda mrefu, Meya
wa jiji alidai kuwa hajui madai hayo na kuelekeza labda mkurugenzi wa jiji
angeweza kutambua madai hayo.
“Ningeshauri atafutwe Mgurugenzi wa jiji labda yeye ndio mwenye data kamili ambazo
zitamuezesha kuongelea suala hilo kwa kina,lakini mimi siwezi kuliongelea hilo kwa
kuwa hawaku leta madai yao kwangu , hata
hivyo madai yao siyatambui ndio maana nimeshauri atafutwe mkurugenzi wa jiji ili aliongelee suala
hilo, ”anasema Masabuli.
Alipotafutwa Mkurugenzi wa jiji naye alimtaka
mwandishi kumtafuta kiongozi wa jengo kwa kuwa hayuko tayari kulizungumzia
suala hilo.
Katika kikao cha kamati (MILADI TAMISEMI),
ambacho kilikuwa chini ya mwenyekiti Dk Hamisi kigwangala na waziri Hawa Ghasia,
kilichofanyika Agosti 31 mwaka jana mjini Dodoma, kwa mujibu wa mwenyekiti wa
wanyabiashara wa Machinga complex
kinaonyesha kuwa baadhi ya viongozi waliokuwepo pamoja na Meya wa jiji la Dar es salaam Didas Masabuli.
Kwa mujibu wa Mwenyekiti Rakesh, katika kikao na
kamati hiyo alipata nafasi ya kuelezea madai
yao mbele ya kamati hiyo pia wakiwemo viongozi
wa jiji na kudai kwamba wange ya shuhulikia madai hayo lakini mpaka sasa
hapaja kuwapo matokeo yeyote amabayo yangekuwa ni matokeo mazuri ya kikao
hicho.
“Nasikitika sana kwa Meya wa jiji anaposema
hayatambui madai yetu, katika kikao ambacho tulikutana na kamati ya (MILADI
TAMISEMI) Dodoma,chini ya mwenyekiti Dk
Hamisi Kigwangala, tukieleza madai yetu nayeye (Didas Masabuli), alikuwapo
kwenye kikao hicho,na haya madai yapo
kwa kipindi cha miaka sita sasa,sidhani kama kuna kiongozi mwenye dhamana na
hili jengo anaweza kusema hajui madai ya wafanya biashara kama anavyodai yeye
(Masaburi), kwamba hayajui madai yetu, ” anasema Rakesh.
Ikumbukwe
kwamba jengo hilo lilijengwa kwa mkopo wa NSSF na likakabidhiwa kwa viongozi wa
Halmashauri ya jiji na manispaa ya Ilala
miaka sita iliyopita lakini mpaka sasa shughuli katika jengo hilo
Subscribe to:
Posts (Atom)





