Tuesday, 17 March 2015

Arsene Wenger believes Arsenal can defy the odds as former Monaco manager knows he will be expected to gamble on his first competitive return to Monte Carlo



 
In seven years as Monaco boss Arsene Wenger was never once distracted by the lure of its famous casino.
'I spent a lot of time on the football pitches, I don't think anyone saw me in there,' said Wenger, as he arrived at the Stade Louis II on Monday night, aware that on his first competitive return to Monte Carlo he will be expected to gamble.
Arsenal paid the price for taking risks in the first leg and lost 3-1. As a result history is stacked against them. In the Champions League era, no team has overturned a deficit of two or more goals having played at home first.

Delve back into the European Cup and Ajax were the last to manage it, when they needed a play-off to beat Benfica in 1969. Wenger was still playing for Mutzig in the French third division back then, and Monaco manager Leonardo Jardim was not yet born.
'The statistics are against us, we are conscious of that,' said the Arsenal boss. 'We have to give absolutely everything to make the stats lie. That's our desire. We believe we can do it and I'm confident we will. If we didn't believe we wouldn't be here. Football is not predictable.
'We totally missed the first leg, which was surprising. We did not play well. Sometimes in life if you miss a chance, you do not have a second chance, but we do, so we will play it fully.'
But he would not commit to a gung-ho charge from the outset. 'Early goals or late goals but we need full power and must not forget the organisation and structure of the team,' he added.
Disturbing stats lay behind the headline stat. Monaco have not lost a European tie at the Stade Louis II for 10 years. And they have not lost one at home by a score which would knock them out since Leeds won 3-0 here, nearly 20 years ago.
Arsenal must score three and hope to keep Jardim's team at bay, something they were unable to do in London.
Wenger has no shortage of creative flair at his disposal and backed France striker Olivier Giroud, who has scored six in seven, to make amends for chances missed at the Emirates Stadium.
It might be easier if Monaco were not so miserly. But this team is built on a stern defence. They have conceded only once in the last 12 home games and did not let in a goal in three home Champions League group games.
Despite all this, Arsenal captain Per Mertesacker echoed the idea that belief in the camp is strong, and has been improved by a team meeting in the aftermath of the first-leg defeat, three weeks ago.

Arsene-Wenger-picture-special-Sportsmail-marks-Arsenal-manager-s-return-Monaco-Champions-League-showdown









Arsenal manager Arsene Wenger returns to familiar surroundings on Tuesday night although it's a long, long time since he was in the Stade Louis II. 
Wenger managed Monaco between 1987 and 1994 - landing the Ligue 1 title in his first season and adding the French Cup a few years later - and his old club stand between the Gunners and a place in the Champions League quarter-finals.
The team from the principality lead 3-1 after storming the Emirates three weeks ago and with the second leg set up to be a cracker, we've produced this picture special to mark the occasion and celebrate the early days of Wenger's career as a boss.
Monaco was Wenger's second club after a three-year spell at Nancy. He also managed Nagoya Grampus Eight in Japan after Monaco and moved to Arsenal in 1996.

Kutazama video za ngono zawaponza Majaji 3 nchini uingereza




MAJAJI watatu nchini Uingereza  wamefutwa kazi kwa kutumia muda wao ofisini kutizama filamu za ngono.
Wakitajwa majina kuwa ni Jaji Timothy Bowles anayesikiza kesi za wilaya , jaji wa maswala ya uhamiaji Warren Grant na jaji Peter Bullock kuwa wamefutwa kazi.
Kwa mujibu wa wachunguzi wa  idara ya mahakama walithibitisha kuwa Majaji hao walipatikana na hatia ya  kutumia mtandao rasmi wa mahakama hiyo.
 Maafisa hao wanasemekana kuwa Majaji hao walitazama mitandao yenye filamu za ngono huku wakifahamu vyema kuwa ilikuwa ni ukiukaji wa sheria za matumizi kwa mujibu wa msimamizi wa idara hiyo ya Mahakama.
Hata hivyo kiongozi wa idara ya mahakama hiyo ya Uingereza na jaji mkuu waliwapata na hatia ya kwenda kinyume cha maadili ya mahakama.
Jaji wa nne Andrew Maw aliamua kustaafu mwenyewe wakati uchunguzi huo ukiendelea badala ya kufikishwa kizimbani.
Mwandishi mmoja wa  maswala ya kisheria anayejulikana kama Clive Coleman  anasema kuwa makosa hayo yalikuwa makubwa sana katika mizani ya uadilifu wa majaji.
Aidha imefahamika kuwa hakuna hata mmoja wao atakayeruhusiwa kufanya kazi katika idara ya mahakama tena.

Kufeli hesabu kumetibua harusi nchini India





KATIKA muendelezo wa vituko duniani harusi moja ilitibuka nchini India baada ya bwana harusi kufeli swali rahisi sana la hisibati aliloulizwa na bi harusi.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa kihoja hicho cha aibu kinachosemekana kutokea wakati  bi harusi alipomuuliza swali  bwana harusi kwamba ‘15 ukiongeza 6 utapata nini’ na bwana huyo hasijue cha kujibu.
Hata hivyo polisi katika jimbo hilo la Uttar Pradesh nchini India wanasema kuwa sherehe za harusi hiyo zilitibuka baada ya bi harusi kufoka mumewe mtarajiwa alipotoa jibu lake kuwa  ''17 ''.
Ni mara nyingi maharusi hukutana kwa mara ya kwanza katika sherehe za harusi yao.
Cha kushangaza ni pale bi harusi alikurupuka na kuondoka jukwaani akiwa amenuna  huku akisema hawezi kuoa mtu ambaye hakwenda shuleni.Hivyo juhudi zote za ndugu na jamaa pamoja na marafiki waliofika katika eneo hilo kushuhudia ziliambulia patupu.
Na baadae polisi katika jimbo hilo walisema kuwa jamaa wa bwana na bi harusi wote walikubaliana kurejesheana zawadi zote walizokuwa wametoa kwaajili ya wapendwa hao.
Ifahamike kuwa asilimia kubwa ya ndoa zote nchini India hupangwa na wazazi na mara nyingi maharusi hukutana kwa mara ya kwanza katika sherehe za harusi yao hivyo Baba yake  bi harusi Mohar Singh ambaye ndiye aliyekuwa amepanga harusi hiyo katika kijiji cha Rasoolabad akiongea na waandishi alidai kuwa  mwanawe alishangaa  mumewe mtarajiwa Ram Baran hakuwa msomi.
Katika tukio linalofanana na hilo nchini humo lilitokea mwezi uliopita bi harusi mwengine aliolewa na mgeni katika harusi yake baada ya Mumewe aliyekuwa amepanga kumuoa kuanguka kifafa dakika chache tu kabla ya wawili hao kuunganishwa kuwa mume na mke .

Ndege ya BA yatua kutokana na harufu ya Choo



Hama  kweli duniani hakuishi vituko..! hivi karibuni  kumeripotiwa kutokea  kwa ndege moja ya shirika la ndege la British Airways kulazimika kutua kufuatia harufu mbaya iliyokuwa ikitokea  chooni.
Ndege hiyo  aina ya BA ilikuwa ikielekea Heathrow Uingereza kutoka Dubai safari ambayo kwa kawaida huchukua saa saba hadi kufika.
Abiria mmoja aliyekuwa ndani ya ndege hiyo aliyejulikana kama  Abhishek Sachdev, aliandika kwenye mtandao wake wa kijamii wa Twitter kuwa
''Amini usiamini ndege yetu ya British Airways imelazimika kurejea dubai baada ya wahudumu kugundua kuwa harufu mbaya inatokea kwenye choo cha ndege hiyo.
“Yamkini rubani wa ndege hiyo aliwaita msimamizi wa wahudumu wa ndege hiyo ndipo tukang'amua kuwa kulikuwa na tashwishi katika safari yetu” Sachdev alinukuliwa na gazeti moja.
Anasema walielezwa na  rubani kuwa harufu mbaya ndani ya ndege hiyo inatokana na choo cha ndege hiyo kuwa kichafu na kwamba ilikuwa ni ya kinyesi.
Sachdev anasema hadi kufikia wakati huo ilikuwa takribani nusu saa tangu ndege hiyo ipae angani hivyo ikalamika kujerea nchini Dubai na ikawapasa kusubili zaidi ya saa 15 kwa kuwa hapakuwa na mbadala wa kurejea London.
Kwa upande wake mwakilishi wa ndege hiyo Greg James, Sarah, aliiambia Radio 1 kuwa jambo hilo halikuwa suala la kufanyiwa utani kwani ukiwa ndani ya ndege ni tishio kubwa kwa afya ya rubani na abiria kwa jumla.
''Ndani ya ndege huwa kunautupu wa hewa kwa hivyo asili mia 50 ya hewa inayotumika ni ileile kwa hivyo harufu mbaya ingeathiri vibaya afya ya abiria ndio sababu ndege hiyo haikuwa na budi ila kurejea iliisafishwe''.alisema.
Hata hivyo shirika hilo la ndege liliomba msamaha kwa usumbufu wowote kwa abiria wake walioathirika siku hiyo.